20 Nov 2023 USAFIRI KWA NJIA YA MAJI KIPAUMBELE SEKTA YA UCHUKUZI Read More
16 Oct 2023 Zaidi ya bilioni 625 kujenga meli 2 mpya na kiwanda cha meli Read More
04 Aug 2023 RAIS SAMIA AAHIDI KUWA WA KWANZA KUPANDA MV. MWANZA Read More
17 Feb 2023 MV. MWANZA ‘HAPA KAZI TU’ YASHUSHWA ZIWANI Read More
Invitation for Tender Wagon and Barge Building
Invitation for Tenders Catering Services, supply of bird sheets, Pillow Cover,Uniforms and safety geers
RE-ADVERTISED:-INVITATION FOR CONSULTANCY SERVICES FOR THE REVIEW OF DESIGN AND SUPERVISION OF WORKS FOR THE CONSTRUCTION OF PASSENGER SHIP IN LAKE VICTORIA.
GENERAL PROCUREMENT NOTICE (GPN) FOR THE YEAR 2019/2020
How Can I Purchase Ticket Online View More
Serikali imesema itaendelea kuwekeza katika usafiri kwa njia maji hususani katika Maziwa yaliyopo nchini ili kurahisisha shughuli za usafiri na usafirishaji wa abiria na mizigo baina ya mikoa na nchi jirani zinazozunguka maziwa hayo.
Serikali kupitia Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL) iliyo chini ya Wizara ya Uchukuzi imesaini mikataba mitatu ya ujenzi wa meli mpya mbili za mizigo na kiwanda cha kujenga Meli yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 625.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameahidi kuwa wa kwanza kuipanda Meli mpya ya MV. Mwanza Hapa Kazi Tu mara tu ujenzi wa meli hiyo utakapokamilika.
Zoezi la kushusha meli moja ya MV. Mwanza ‘Hapa Kazi Tu’ limefanyikwa vyema kwa asilimia 100 na ujenzi wake umefikia asilimia 82.
Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL) na Wakla wa Uwezeshaji wa Usafiri wa Ushoroba wa Kati (CCTTFA) leo tarehe 17 Januari, 2023 zimesaini Makubaliano ya Ushirikiano (Memorandum of Understanding – MoU) yatakayodumu kwa muda wa miaka mitatu.
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Makame Mbarawa (MB) amewapongeza Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL) kwa Utekelezaji unaoridhisha wa Mradi wa Ujenzi wa Meli ya Kisasa ya MV Mwanza inayojengwa kwa gharama ya Bilioni 108 itakapokamilika.